KUZIONA YANGA VS WELAYTA VIINGILIO VYAWEKWA WAZI - SOKA MEDIA

SOKA MEDIA

Michezo karibu yako zaidi.

KARIBU KWENYE KIJIWE CHA SOKA,PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home top ad

KARIBU KWENYE KIJIWE CHA SOKA,PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, April 5, 2018

KUZIONA YANGA VS WELAYTA VIINGILIO VYAWEKWA WAZI



Mchezo wa kwanza wa kusaka tiketi ya kutinga hatua ya makundi kombe la Shirikisho barani Afrika kati ya Yanga dhidi ya Welayta Dicha utapigwa kwenye uwanja wa Taifa Jumamosi, April 07 2018.

Tayari viingilio vya mchezo huo vimewekwa hadharani ambapo Jukwaa la VIP A kiingilio itakuwa Tsh 15,000/-, VIP B na C Tsh 10,000/- wakati mzunguuko ikiwa tsh 3,000/-

Mchezo huo unatarajiwa kuanza saa 10:00 jioni pia utakuwa mubashara kupitia Azam Sport 2



No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here